Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jack Grealish asaini mkataba mpya Villa

Jumanne , 15th Sep , 2020

Nahodha wa Aston Villa Jack Grealish amesaini mkata mpya wa miaka mitano wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Vilabu vya Manchester United na Arsenal vimekuwa vikitajwa kumuwania Jack Grealish katika dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi

Kiungo huyo raia wa England mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba mpya hii leo ambao utamfanya aendele kusalia katika klabu hiyo kwa miaka mitano zaidi. Mkataba huo utamfanya kiungo huyo kulipwa mshahara wa pauni laki moja na arobaini ( 140000 ) kwa wiki kutoka ule aliokuwa analipwa awali ambao ulikuwa ni pauni Elfu sabini ( 70000).

 

Grealish amekuwa akihusiswa kujiunga na klabu ya Manchester United katika dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi ambalo lipo wazi mpaka Oktober 05, lakini klabu ya Aston Villa imempa thamani ya fedha za Uingereza pauni milion 80 kama ada ya uhamisho kiasi ambacho Manchester United hawapo tayari kulipa.

 

Mtendaji mkuu wa Villa Christian Purslow amesema wanafaraha kwa Jack kuongeza mkataba na sasa wanaijenga timu hiyo kumzunguka kiungo huyo. Msimu uliopita katika michezo ya ligi kuu alifunga mabao nane na alitoa pasi za usaidizi wa mabao yani assists sita kwenye michezo 36 ya EPL.

 

Jack Grealish alijiunga na Aston Villa akiwa na Umri wa miaka nane, na msimu wa 2013-14 alipandishwa kwenye kikosi cha kwanza na mapaka sasa ameshacheza jumla ya michezo 186 na amefunga mabao 25.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA