Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hii ni wiki ya kibingwa kwako, anza na mechi hizi

Jumanne , 23rd Feb , 2021

Michezo ya Ligi ya Mabingwa – UEFA na Europa, EPL na Eredivisie kuendelea kutimua vumbi wiki hii. Hii ni fursa ya kutengeneza faida kupitia Odds kubwa zinazopatikana Meridianbet pekee!

Michezo ya Klabu Bingwa Ulaya ndani ya Meridianbet

Jumanne hii kwenye EPL ni Leeds United vs Southampton. Timu zote zilikosa alama 3 kwenye michezo iliyopita. Hali itakuwaje Jumanne hii? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.30 kwa Leeds United.

Kunako UEFA Champions League, Lazio atapambana na Bayern Munich. Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa wanakibarua cha kutetea ubingwa wao msimu huu. Kupitia Meridianbet, tumekuwekea Odds ya 1.73 kwa Bayern.

Jumatano tutaelekea kule nchini Uholanzi ambapo Groningen atachuana na Feyenoord. Pointi 3 ndio kitu cha muhimu zaidi kwa timu hizi kwenye mchezo huu. Tumekuwekea Odds ya 2.25 kupitia Meridianbet.

Bila shaka macho ya wengi yatakuwa kule Italia ambapo Atalanta uso kwa uso na Real Madrid. Huu ni msimu ambao timu hizi zinaendelea kujitutumua kwenye ligi zao – La Liga na Serie A.

Michezo yao ya mwisho kwenye Ligi zao, Atalanta aliwalaza na viatu Napoli kwa ushindi wa 4-2 wakati ambapo Madrid waliwalaza Valladolid kwa matokeo ya 1-0.

Kwenye UEFA Champions League kupitia Meridianbet, Madrid amepatiwa Odds ya 2.55.

Kunako Ligi ya Europa Alhamisi hii ni Arsenal vs Benfica. Soka la Uingereza dhidi ya soka la Ureno. Hapatoshii!! Nani atajiwekea nafasi ya kufuzu hatua ya 16 bora mapema? Meridianbet tumekusogezea Odds ya 2.00 kwa Arsenal.

Villareal vs Salzburg ni mtanange mwingine utakaoipamba Alhamisi yako. Meridianbet tumekuweka Odds ya 2.05 kwa Villareal.

Imalize wiki yako kwa mchezo kati ya Man United vs Real Sociedad. Baada ya United kushinda 4-0 kwenye mchezo wa awali, sasa wanahamia Old Trafford. Matokeo ya ushindi au sare yatawatosha United kutinga hatua ya 16 bora.

Kupitia Meridianbet, unaweza kuifuata Odds ya 2.00 waliyopatiwa United.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali