Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahasimu wa Madrid wakutanishwa tena UEFA

Ijumaa , 21st Apr , 2017

Hatimaye shauku ya wadau wa soka imekwisha baada ya Chama cha Soka barani Ulaya (UEFA) leo kuweka wazi ratiba kamili ya michezo ya nusu fainali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya pamoja na 'Europa League'

Katika droo iliyofanyika leo, mahasimu wa soka katika jiji la Madrid nchini Hispania, Real Madrid na Atletico Madrid wamekutanishwa kwa mara nyingine tena, baada ya kukutana katika fainali ya msimu uliopita, ambapo Real Madrid walitwaa ubingwa kwa mikwaju ya penati.

Real Madrid wanaanzia nyumbani siku ya tarehe 2 mwezi Mei na kurudiana siku ya tarehe 9.

Nusu fainali ya pili inawakutanisha Wafaransa AS Monaco ambao ni wanafainali wa mwaka 2003, Monaco dhidi ya Juventus ambao pia ni wanafainali wa mwaka 2015 siku ya tarehe 3 mwezi Mei mwaka huu.

Real imefikia hatua hiyo baada ya kuitoa Bayern Munich, Atletico imeitoa Leicester City, Monaco imeiondosha Borussia Dortmun na Juve imeisambaratisha vigogo FC barcelona.

Kwa upande wa nusu fainali ya Ligi ya Europa Mashetani wenkundu wa England Manchester United wamepelekwa Ufaransa kuikabili Celta Vigo, huku Wadachi Ajax wakianzia nyumbani dhidi ya Wafaransa wengine, Olimpique Lyon, mechi zote zikipigwa Mei 4 mwaka huu.

Man Unite iliitoa Anderlecht ya Ubeligiji kwa jumla ya mabao 3-2 huku Celta Vigo ikiiondosha Genk ya Ubelgiji pia ambayo anakipiga Mtanzania Mbwana Samatta kwa jumla ya mabao 4-3 katika hatua ya robo fainali.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu