Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hesabu za Yanga na Azam FC kufungwa usiku

Ijumaa , 25th Mei , 2018

Ikiwa ligi kuu soka Tanzania Bara inafungwa rasmi Jumatatu ya Mei 28, 2018, klabu za Yanga SC na Azam FC ambazo zinawania nafasi ya pili zitakipiga usiku kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Shirikisho la soka nchini TFF, michezo yote ya mwisho wa ligi siku ya Jumatatu itachezwa muda mmoja isipokuwa mchezo mmoja wa Yanga na Azam FC ambao utapigwa usiku.

Mechi 7 ikiwemo ya bingwa mpya Simba dhidi ya Majimaji zitapigwa saa 10:00 Jioni, ambapo mbali na bingwa kupatikana tayari timu moja imeshashuka daraja ambayo ni Njombe Mji.

Azam FC wakiwa nyumbani Chamazi watakipiga na Yanga kuanzia majira ya saa 2:00 usiku ambapo mshindi wa mechi hiyo ndio atamaliza wa pili kwenye msimamo wa ligi msimu wa 2017/18.

Mechi zote nane
Lipuli vs Kagera Sugar- saa 10 kamili
Tanzania Prisons vs Singida Utd- saa 10 kamili
Ndanda vs Stand Utd- saa 10 kamili
Mtibwa Sugar vs Mbeya City- saa 10 kamili
Yanga vs Azam- saa 2 kamili usiku
Njombe Mji vs Mwadui- saa 10 kamili
Mbao vs Ruvu Shooting- saa 10 kamili
Majimaji vs Simba- saa 10 kamili

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya