Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hazard 'amzodoa' Mourinho

Jumanne , 19th Sep , 2017

Nyota wa Chelsea Eden Hazard amesema alijiona wa tofauti ndani ya wiki moja tu aliyofanya mazoezi chini ya kocha wake wa sasa Antonio Conte tofauti na hapo awali alipokuwa akifundishwa na  walimu wengine, kauli iliyotafsiriwa ni dongo kwa kocha wake

aliyepita bwana Mourinho ambaye hawakuwa na mahusiano mazuri sana na Hazard.

Hazard ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali kuhusu urejeo wake msimu huu baada ya kuwa majeruhi akikosa mechi zote za Chelsea msimu huu.

"Najisikia vizuri kurejea na nina amini chini ya kocha wangu Conte nitakuwa bora tu kama ilivyokuwa wakati anaanza kuifundisha Chelsea, chini ya wiki moja tu nilijiona watofauti sana ukilinganisha na walimu waliopita hapa", amesema Hazard.

Hazard hakuwa na msimu mzuri wa 2015/16 chini ya Mourinho baada ya kushindwa kuanzishwa katika michezo kadhaa ambapo timu yake ilimaliza nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi na kupelekea kocha Mourinho kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Conte ambaye aliiwezesha klabu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL katika msimu wake wa kwanza 2016/17.

Hazard ameongeza kuwa Conte ni kocha bora amemfahamu tangu akiwa na Juventus na sasa yupo naye Chelsea na anaamini bado ana muda mrefu wa kuwa klabuni hapo.

Nyota huyo wa Ubelgji amejumuishwa kwenye kikosi cha Chelsea kitakachoshuka dimbani leo kucheza na Nottingham Forest kwenye kombe la ligi maarufu EFL Cup.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali