Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hazard aitabiria England kwenye Kombe la Dunia

Jumatano , 13th Jun , 2018

Mchezaji wa timu ya Taifa ya Ubelgiji na klabu ya Chelsea, Eden Hazard ametabiri kuwa timu ya Taifa ya England itafika hatua ya fainali katika mashindano ya kombe la Dunia yanayofanyika nchini Urusi kuanzia kesho Juni 14, 2018.

Mchezaji huyo ametoa utabiri wake baada ya kupost katika mtandao wake wa kijamii wa Instagram na kuonesha, England itatinga fainali lakini itapoteza mchezo  huo kwa kufungwa na timu ya Ubelgiji katika mchezo wa fainali Julai 15, 2018.

Hazard ametabiri kwamba England itafanikiwa kumaliza nafasi ya pili kundi G kabla ya kuitoa Colombia hatua ya 16 bora, kisha kuifunga Ujerumani robo fainali na kuindosha Argentina hatua ya nusu fainali.

Mbelgiji huyo ameandika “Huu ni utabiri wangu wa kombe la Dunia 2018, marafiki zangu wengi  kutoka Chelsea, huu ni utabiri wangu, wako ni upi?”

England na Ubelgiji zimepangwa pamoja kundi G katika mashindano ya kombe la Dunia na zitakutana Juni 28, 2018 kuhitimisha michezo ya kundi hilo ambalo linajumisha timu za Panama na Tunisia.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali