Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Hatutafanya makosa kwenye usajili''Kaze

Jumanne , 21st Jun , 2022

Kocha Msaidizi wa klabu ya Yanga raia wa Burundi Cedric Kaze amesema Yanga haiwezi kurudia makosa yaliyojitokeza mwanzoni mwa msimu uliopita ya kusajili wachezaji na kushindwa kupata vibali vya kufanyia kazi kwa wachezaji nchini (ITC).

Kocha Msaidizi wa klabu ya Yanga raia wa Burundi Cedric Kaze

Akiongea na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Yanga dhidi ya Polisi Tanzania Kaze amebainisha kuwa viongozi wa klabu hiyo wanaendelea na jitihada za kuhakikisha wanakamilisha usajili wa wachezaji waliopendekezwa na benchi la ufundi kwa ajili ya kuimarisha kikosi hicho.

'' Tumepokea barua kutoka CAF kuhusu kusogezwa mbele kwa tarehe ya kuanza kwa michezo ya hatua ya awali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afika kwa msimu 2022/2023'' amesema Kaze.

Katika hatua nyingine,Kaze amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi hapo kesho huku kikosi hicho kikitarajiwa kukosa huduma ya nyota wawili nahodha Bakari Mwamnyeto na Djuma Shabaan kutokana na kutokuwa na utimamu wa mchezo kwa asilimia mia moja.

Yanga imekata tiketi ya kushiriki ligi ya mabingwa barani afrika baada ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania kwa msimu 2021/22 huku wakitarajiwa kukabidhiwa kombe lao mnamo Juni 25 kwenye mchezo dhidi ya Mbeya City utakaofanyika jumamosi,Jijini Mbeya

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi