Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harry Kane ashikiki EPL lakini hali aacha utata.

Jumamosi , 17th Apr , 2021

Mshambualiaji na nahodha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Harry Kane ameonesha kiwang o safi kwa kufunga mabao mawili yalioisaidia timu yake kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Everton usiku wa jana ugenini kwenye dimba la Godison park.

Mshambuliai Harry Kane, akionekana kwenye matukio tofauti tofauti.

Mabao hayo yamemfanya Harry Kane kufikisha maba0 21 na kuongoza orodha ya wafumania nyavu kwenye ligi kuu England mpaka sasa kwa msimu huu akifuatiwa na mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah mwenye mabao 19.

Kane pia amefikisha mabao 164 na kuwa mshambuliaji wa saba mwenye mabao mengi wa muda wote kwenye historia ya ligi hiyo ambayo inaongozwa na mshambuliaji wa zamani na Newcastle na timu ya taifa ya England, Alan Shearer mwenye mabao 260.

Baada ya kuonesha umahiri wa kupachika mabao na kuweka rekodi nyingine ya kufunga mabao kuanzia 20 na kuendelea kwa misimu mitano mfululizo, lakini nyota huyo alifanyiwa mabadiliko dakika ya 90+3 baada ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu na Delle Alli kuingia.

Utata uliosalia ni kwamba, bado hajajulikana nyota huyo ameumia kwa kiasi gani na lini atarejea uwanjani ambo linalomuumiza kichwa kocha wake Jose Mourinho kwani nyota huyo ndiye hodari wa kutengeneza mabao, mabao 16 kwenye ligi hiyo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu