Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna wakuniweka benchi Yanga - Kaseke

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Pamoja na usajili mzuri uliofanywa na Yanga, winga wa timu hiyo, Deus Kaseke, amesema hakuna wa kumweka benchi.

Deusi Kaseke anaamini bado ananafasi kwenye kikosi cha Yanga licha ya ingizo la wachezaji wapya kwenye nafasi yake

Kaseke ambaye anatajwa kupewa kitambaa cha unahodha anatarajiwa kukutana na upinzania wa namba katika kikosi hicho, baada ya   ujio wa wachezaji wapya Farid Mussa,  Tuisila Kisinda na Juma Mahadhi.

Kaseke amesema kwa kipindi  ambacho yupo na Yanga amejifunza mambo mengi yakiwamo ya namna ya kukabiliana na ushindani wa namba.

“Kwanza nashukuru wachezaji wanaocheza nafasi yangu kuongezeka kwa sababu kutanipa chachu ya kushindana, lakini pia haitokea  mimi kukaa benchi hapa, ninajiamini naweza kwa asilimia 90.

 “Kukaa benchi ni suala la mchezaji mwenyewe kukubaliana nalo, lakini kama huhitaji, utatafuta namna ya kufanya mazoezi hata kama ni ya peke yako ili mradi tu ukija mbele ya mwalimu uwe fiti,” amesema.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi