Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haaland kafunga tena, Man City wanaongoza Ligi

Jumamosi , 17th Sep , 2022

Mabingwa wa England Manchester City wamepanda kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England EPL, baada ya kuinyuka Wolverhampton Wanderers mabao 3-0 kwenye mchezo uliochezwa katika dimba la Molineux. Sasa wanaongoza Ligi kwa tofauti ya alama 2 dhidi ya Arsenal wanaoshika nafasi ya pili.

Wachezaji wa Manchester City wakishangilia goli kwenye mchezo dhidi yaWolverhampton Wanderers

Mabao ya ushindi ya Manchester City yamefungwa Jack Grealish aliyefunga bao la kwanza kunako dakika ya kwanza ya mchezo, Erling Haaland akaifungia City bao la pili dakika ya 16 hili ni bao la 11 kwa Haaland kwenye michezo 7 ya Ligi na ndio kinara kwenye orodha ya wafungaji na bao la tatu amefunga Phil Foden.

Wenyeji Wolverhampton walimaliza mchezo wakiwa pungufu baada ya mwamuzi Anthony Taylor kumuonyesha kadi nyekundu beki Nathan Collins dakika ya 33 baada ya kumchezea madhambi Jack Grearish. Kwa ushindi huu Manchester City inaongoza Ligi kwa alama 17 ikiwa ni tofauti ya alama 2 dhidi ya Arsenal wenye alama 15 wakiwa nafasi ya 2 lakini City wamecheza michezo 7 mchezo mmoja zaidi ya Arsenal.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali