Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Griezmann aokoa Jahazi la Ufaransa, Euro 2020

Jumamosi , 19th Jun , 2021

Timu ya taifa ya Ufaransa imebanwa mbavu na Hungary kwenye mchezo wa Kundi F’ kwenye muendelezo wa michuano ya Euro 2020, baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1.

Antoine Griezmann

Kwenye mchezo ambao mabingwa wa Dunia Ufaransa walipewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi lakini walijikuta wanakibarua cha kutafuuta bao la kusawazisha baada ya Hungary kupata bao dakika ya 45 kupitia kwa mchezaji Attila Fiola. Lakini baadae kipindi cha pili kunako dakika ya 66 Antoine Griezmann akaifungia bao Ufaransa na kuufanya mchezo huo kumalizika kwa sare ya bao 1-1.

Sasa mabingwa hao wa Dunia wanafikisha alama 4 na ndio vinara wa kundi F’ wakati Hungary wapo nafasi ya 3 wakiwa na alama 1 walioipata leo.

Mchezo unaofata wa kundi F’ tutawashuhudia mabingwa mara tatu wa ulaya timu ya taifa ya Ujerumani wakiutafuta ushindi wa kwanza baada ya mchezo wa raundi ya kwanza kufungwa na Ufaransa kwa bao 1-0, hivyo wanahitaji ushindi au sare ili kufufua matumaini ya kusonga mbele kwenye michuano hii, na wanakibarua kigumu mbele ya mabingwa watetezi Ureno ambao wao mchezo wa kwanza walishinda mabao 3-0 dhidi ya Hungary na ushindi kwa ureno utawahakikishia nafasi ya kusonga mbele hatua ya 16 bora. Mchezo huu utapigwa majara ya Saa 1:00 Usiku.

Na mchezo wa mwisho leo utachezwa Saa 4:00 Usiku ambao ni mchezo Pekee wa kundi E’ Hispania wataumana na timu ya taifa ya Poland. Hispania ina alama moja baada ya kutoka sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Sweeden, wakati Poland ilipoteza kwa kufungwa na Slovakia pkwa mabao 2-1.

Hispania ambao pia ni mabingwa mara tatu wa ulaya wapo kwenye presha kubwa kufuatia kiwango kilichoonyeshwa na safu yao ya ushambuliaji kwenye mchezo wa kwanza tofauti na matokeo ya ushindi hii leo itawaweka katika mazingira magumu ya kutinga hatua ya 16 bora.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA