Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Goti lamponza Nadal

Jumanne , 14th Nov , 2017

Mchezaji tenisi namba moja duniani Rafael Nadal amemaliza vibaya msimu baada ya kutupwa nje ya fainali za dunia za ATP zinazoendelea jijini London Uingereza.

Mhispania huyo ameondolewa kwa kipigo cha seti 7-6 (7-5) 6-7 (4-7) 6-4 kutoka kwa David Goffin. Katika mchezo huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa 02 jijini London, Nadal alilazimika kucheza huku akiwa na maumivu ya goti.

Nadal aliumia goti kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Paris Masters wiki iliyopita hivyo akalazimika kujitoa ili aweze kutibiwa haraka akipigania kurejea mapema kucheza fainali za kufunga msimu huu za ATP jijini London.

Hata hivyo imekuwa ngumu kwa nyota huyo kuendelea na mashindano kutokana na kipigo hicho cha mechi yake ya ufunguzi kutoka kwa David Goffin ambaye ni raia wa Ubelgiji. Nadal amesisitiza kuwa hata kama angeshinda ilikuwa lazima ajitoe kutokana na kushindwa kuhimili maumivu ya goti.

Kuondolewa kwa Nadal kunatoa fursa kwa mkongwe Roger Federer kuisaka nafasi ya kuwa bingwa wa fainali hizo. Pamoja na kutolewa kwake lakini Nadal tayari ameshajihakikishia kumaliza msimu huu akiwa mchezaji namba moja duniani hata kama mpinzani wake mkubwa Roger Federer atatwaa ubingwa wa ATP.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali