Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gekul akanusha katiba TFF, TOC, kuwalinda viongozi

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Pauline Gekul amelitaarifu bunge kuwa shirikisho la  Mpira wa miguu Tanzania TFF na Kamati ya Olimpiki Tanzania TOC hazijawahi kubadili katiba zao kwa lengo la kuwalinda viongozi walioko madarakani, kwani mabadiliko yoyote ya kikatiba laz

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Pauline Gekul

Mhe. Gekul amekanusha madai hayo leo bungeni, yaliyoibuliwa kufuatia swali la Mbunge wa Makunduchi, Ravia Faina juu ya kwanini Vyama vya michezo vimekuwa vikibadili katiba zao kulinda viongozi walioko madarakani na kudhibiti watanzania wengine wasigombee nafasi katika vyama hivyo.

“Napenda kuliarifu Bunge lako tukufu kwamba shirikisho la TFF na TOC hayajawahi kubadili katiba zao kwa lengo la kulinda viongozi walioko madarakani, kwa kuwa mabadiliko yoyote ya kikatiba lazima yakidhi vigezo vya usajili vinavyosimamiwa na msajili wa vyama na vilabu vya Michezo nchini vikiwemo utawala bora na ukomo wa muda wa uongozi chini ya BMT,” amesema Mhe. Gekul

Pia akizungumzia juu ya ukomo wa uongozi katika baadhi ya vyama vya michezo amesema kwa upande wa TOC tiyari suala hilo lilishafanyiwa marekebisho nakupelekwa kwa msajili huku akiahidi kutembelea kwenye ofisi za baadhi ya vyama ili kupitia vigezo vilivyopo na kuvifanyia kazi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali