Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Emma afuta ukame wa Grand Slam Uingereza

Jumapili , 12th Sep , 2021

Mcheza tenisi Emma Raducanu raia wa Uingereza mwenye miaka 18 amemaliza ukame wa Grand Slam kwa wanawake nchini Uingereza, baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Marekani (USOpen) kwa kumfunga Leylah Fernandez wa Canada kwa seti mbili za 6-4 6-3 kwenye fainali.

Emma Raducanu raia wa Uingereza akiwa na kombe la US Open

Baada kwa Emma kutwaa ubingwa huo usiku wa kuamkia leo jijini New York sasa rasmi, hii ni Grand Slam ya kwanza kwa wanawake Uingereza tangu mwaka 1977 ambapo Virginia Wade alishinda Wimbledon.

Rekodi alizoweka ni pamoja na 

1. Mwanamke wa kwanza Uingereza kushinda US Open baada ya miaka 51 mara ya mwisho alifanya hivyo Virginia Wade mwaka 1968.
2. Mchezaji aliyefuzu kwa mara ya kwanza kucheza Grand Slam na kwenda kuchukua ubingwa tena kwa kushinda mechi zote 10.
3. Mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kushinda Grand Slam tangu alipofanya hivyo Maria Sharapova kwenye Wimbledon 2004.
4. Mwanamke wa kwanza kushinda US Open bila kupoteza hata seti moja tangu alipofanya hivyo Serena Williams mwaka 2014
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi