Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Droo ya Parimatch kuwanufaisha vijana

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

“Mimi niendelee kuwasisitizia tu wadau wa michezo ya kubahatisha kuwa wasipotezee hii bahati ya kushiriki katika shindano letu la Chomoka na Ndinga maana kila siku tunatoa simu janja mbili na mwisho wa wiki tunatoa pikipiki mbili na mwisho wa shindano hili kutakuwa na zawadi kubwa ya gari

Na Mwandishi Wetu,

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanzania yawaasa wateja wake kuendelea kushiriki katika kampeni yao ya ‘Chomoka Na Ndinga’ ili wajiweke karibu katika kinyanganyiro cha kuwania gari mpya mpya na ya kisasa kabisa, simu janja pamoja na bodaboda.

Hayo yamewekwa wazi na Afisa Habari wa Parimatch Tanzania na Ismael Mohamed wakati alipokuwa akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi zawadi ya pikipiki kutoka katika droo ya kwanza ya shindano la Chomoka na Ndinga.

“Mimi niendelee kuwasisitizia tu wadau wa michezo ya kubahatisha kuwa wasipotezee hii bahati ya kushiriki katika shindano letu la Chomoka na Ndinga maana kila siku tunatoa simu janja mbili na mwisho wa wiki tunatoa pikipiki mbili na mwisho wa shindano hili kutakuwa na zawadi kubwa ya gari mpya kabisa aina ya Urban cruiser kutoka Toyota”, alisema Ismael.

Aidha, Ismael alisema kuwa kampuni ya Parimatch imekuja kuwaletea neema wadau wote ambao wanapendelea michezo ya kubashiri huku akisisitizia kuwa huu ndio mwaka wa kulala masikini na kuamka tajiri kwa kubashiri na Parimatch.

Kwa upande mwingine, Kampuni ya Parimatch ndio kinara wa michezo ya kubashiri mtandaoni na imekuwa ikitoa ofa kubwa ya bonasi ya 100% mpaka TZs 1,000,000 kwa wateja wapya wanaojiunga nasi! Parimatch imekuwepo nchini Tanzania tangu mwaka 2019, ikitoa huduma nzuri ikijumuisha malipo ya haraka, odds kubwa na promosheni za kusisimua kwenye soka, Kasino na Michezo ya virtual. Mbali na soka, kampuni ya Parimatch pia hutoa mamia ya matukio kila siku kwenye tenisi, UFC, mpira wa vikapu, Kriketi, baseball na michezo mingine mingi ya Live na pre-match.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali