
Usain Bolt
Bolt mshindi wa medali 9 za dhahabu kwenye mashindano ya matatu ya Olimpiki, amesema anataka kustaafu mwakani baada ya mashindano ya London, ya kipindi cha kiangazi, na baada ya hapo atacheza soka.
Wakimkaribisha nyota huyo, maafisa wa klabu hiyo wamesema kuwa hakuna hakikisho kwamba mwanariadha huyo ataichezea klabu hiyo katika siku za usoni.