Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dickson Job ni Mwananchi, asaini miaka 2 na nusu

Jumatatu , 11th Jan , 2021

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati wa kimataifa wa Tanznaia Dickson Job kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro kwa mkataba wa miaka 2 na nusu, mchezaji huyo ametangazwa rasmi hii leo.

Dikson Job kulia akiwa na makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano Yanga ENG. Hersi Saidi

Dickson Job anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na klabu ya Yanga katika dirisha hili dogo la usajili baada ya klabu hiyo kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji mrundi Saidi Ntibazonkiza. Job amesaini mkataba wa miaka 2 na nusu wa kuitumikia timu ya wananchi.

Baada ya usajili huu sasa klabu ya Yanga inakuwa na idadi ya mabeki wa kati wa 5, ambapo safu hiyo inaongozwa na nahodha Lamine Moro, Bakari Nondo Mwamnyeto, Abdalla Haji Shaibu maarufu Ninja na Saidi Juma Makapu.

Dickson mwenye umri wa miaka 20 kwa sasa yupo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanznaia Taifa stars ambayo ipo kwenye maandalizi ya kujiandaa na michuano ya CHAN inayohusisha wachezaji wa ligi za ndani, itakayoanza kutimua vumbi Januari 16, 2021 nchini Cameroon.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi