Katibu mkuu wa Shirikisho la Masumbwi nchini PST Antony Rutta amesema Cheka alifanikiwa kumaliza Raundi zote lakini alizidiwa kwa Pointi.
Rutta amesema, Cheka alionyesha uwezo mkubwa ulingoni lakini alishindwa kumpiga mpinzani wake kwa KO.
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Cosmas Cheka amejikuta akidundwa na Mrusi Vyancheslav Guessev katika pambano la kuwania ubingwa wa International Super Featherweight IBF la uzani wa Kilo 59.
Katibu mkuu wa Shirikisho la Masumbwi nchini PST Antony Rutta amesema Cheka alifanikiwa kumaliza Raundi zote lakini alizidiwa kwa Pointi.
Rutta amesema, Cheka alionyesha uwezo mkubwa ulingoni lakini alishindwa kumpiga mpinzani wake kwa KO.