![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2024/02/07/WhatsApp Image 2024-02-07 at 07.21.22.jpeg?itok=i0FUSm2o×tamp=1707311996)
Clippers ilimuongeza MVP wa msimu wa 2017-18 James Harden Novemba 01, 2023 na tayari walikuwa na MVP wa 2016-17 Russell Westbrook, MVP wa fainali mbili 2014 na 2019 Kawhi Leonard ambao kwasasa wapo kwenye ubora wa hali ya juu pamoja na nyota Paul George.