Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chirwa atuma ujumbe kwa Wanayanga

Jumatano , 14th Feb , 2018

Nyota wa kimataifa wa Yanga Obrey Chirwa amewaandikia ujumbe mzito mashabiki wa soka nchini hususani wale wa klabu yake ya Yanga baada ya kuonekana kumbeza anapokosa Penalti.

Chirwa ameuonesha ujumbe huo ulioandikwa kwenye fulana aliyokuwa amevaa ndani ya jezi yake kwenye mechi inayoendelea dhidi ya Majimaji baada ya kufunga bao lake la 11 msimu huu dakika ya 30.

Ujumbe huo unasomeka ''Never Give Up'' ambao kwa tafasri sahihi ya kiswahili ni ''Usikate tamaa''. Hii inakuja ikiwa ni siku kadhaa tu zimepita tangu akose Penalti kwenye mchezo wa Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya St. Louis jumamosi iliyopita.

Chirwa kwasasa ndiye anaongoza kwa mabao ndani ya Yanga akiwa amefikisha mabao 11 akiwa nyuma ya okwi mwenye mabao 13 huku akimzidi John Bocco mwenye mabao 10.

Mechi ya Yanga SC dhidi ya Majimaji FC inaendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam ambapo ni dakika ya 60, Ynaga inaongoza 3-1.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi