Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chelsea yatinga fainali, Spurs hoi Carabao Cup

Alhamisi , 13th Jan , 2022

Matajiri wa Jiji la London, Klabu ya Chelsea imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Carabao msimu wa mwaka 2021-22 baada ya kuifunga Tottenham Hotspurs 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa mkondo wapili wa Nusu Fainali.

(Rudiger akifunga bao kwa kichwa na kuipa Chelsea ushindi wa 1-0 )

Bao pekee la ushindi wa Chelsea limefungwa na beki wake kitasa, Antonio Rudiger na kufanya Chelsea ishinde kwa magoli 3-0 katika michezo miwili ya Nusu fainali hiyo baada ya ushindi wa mabao 2-0 kwenye Nusu fainali ya kwanza

Kutinga huko fainali, Chelsea wameweka rekodi ya kibabe ya kitinga fainali tatu katika muda wa mwaka mmoja atokea kocha Thomas Tuchel ajiunge nayo Januari 2021.

Fainali ambazo Chelsea wametinga chini ya Tuchel ni ile ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya ambaye walikuwa Mabingwa mbele ya Manchester City, Kombe la FA waliopoteza kwa Leicester City na sasa Kombe la Carabao.

Ushindi huo pia ni Matumaini mapya kwa Chelsea ambao hawajatinga fainali ya kombe hilo kwa miaka mitatu iliyopita huku wakiwa hawajabeba ubingwa huo kwa miaka saba iliyopita.

Chelsea atacheza fainali dhidi ya mshindi kati ya Arsenal na Liverpool ambao mchezo wao utachezwa saa4:00 usiku wa leo kabla ya kurudiana Januari 20, 2022 na Fainali kutaraji kuchezwa Februari 27, 2022.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali