Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Carrick: Acheni kumdhihaki Ronaldo

Alhamisi , 2nd Dec , 2021

Kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumdhihaki Ronaldo kwamba hataweza kucheza kwenye mfumo mpya wa mwalimu wa mpito wa United Ralf Rangnick.

(CR7 akiwa anapokea maelekezo kutoka kwa kocha wake Michael Carrick)

Rangnick, Raia wa Ujerumani anasifika kwa kutumia mfumo wa uchezaji maarufu kama 'gegenpressing' ambao hulazimisha wachezaji wanapopoteza mpira kukaba kwa nguvu na haraka kupokonya mpira kwa wapinzani na kushambulia kwa haraka kitu ambacho mashabiki wengi wanaona  Ronaldo 36, hataweza kuingia  kwenye mfumo huo kutokana na kasi na umri wake kumtupa mkono.

"labda ni hadithi tu kwamba Ronaldo haweza kucheza mfumo huo, amecheza  kwa muda mrefu kwenye timu nyingi  na amefanikiwa kucheza kwenye mifumo tofauti tena kwa mafanikio makubwa ”  Amesema Carrick.

Kwenye mchezo dhidi ya Chelsea Michael Carrick alimuweka benchi Ronaldo ambaye ndiye kinara wa magoli ndani ya United akifunga magoli 10 katika michezo 15 ya mashindano yote waliyocheza mpaka  sasa.

Manchester United saa 5:15 usiku leo watakuwa Old Trafford kuwakabili Arsenal ambapo Cristiano Ronaldo ana rekodi ya kufunga magoli sita kati ya michezo 15 aliyokutana na washika bunduki wa Emirates, Arsenal.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali