Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Brazil yaweka rekodi kwenye soka

Jumatatu , 19th Feb , 2018

Mashabiki wa soka nchini Brazil jana wameshuhudia tukio lisilo la kawaida michezoni baada ya wachezaji tisa kuoneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa 'Derby' kati ya  timu za Vitoria na Bahia, baada ya kutokea vurugu kuelekea mwisho wa mechi.

Vurugu hizo ziliibuka zikiwa zimesalia dakika 11 kabla ya mchezo huo kumalizika baada ya mchezaji wa Bahia kusheherekea goli akiwa ameisawazishia bao timu hiyo na kuwa sawa kwa mabao 1 - 1.

Kufuatia bao hilo alilofunga kwa Penati na kushangilia kwa mtindo ambao ulionekana kuwakera wachezaji wa timu mwenyeji ambayo ni Vitoria na kuanza kumshambulia kabla ya wenzake wa Bahia kuingilia kitendo ambacho kilipelekea mwamuzi kutoa kadi hizo na mchezo kuishia dakika ya 79.

Wachezaji sita wa wenyeji wa mchezo Victoria walipata kadi nyekundu za moja kwa moja huku wachezaji watatu wa timu ya Bahia nao walioneshwa kadi nyekundu hivyo kufanya mchezo usiendelee.

Refarii alilazimika kuahirisha mechi kutokana na taratibu za mchezo wa soka kuhitaji angalau wachezaji saba wa timu wawepo uwanjani.

Mahakama ya michezo ya Brazil inasubiriwa sasa kuamua juu ya hatua gani za kuchukua kufuatia vurugu hizo ambazo zilipelekea kuharibika kwa mchezo huo ambapo timu zilikuwa zimefungana bao 1-1.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu