Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Bodi ya ligi ongezeni umakini'' Yakubu

Alhamisi , 10th Nov , 2022

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu amewataka viongozi wa Bodi ya Ligi Tanzania kutafuta ufumbuzi na kuongeza umakini kuhakikisha nidhamu inaimarika zaidi katika mchezo wa soka.

Rai hiyo ameitoa leo tarehe 10 Novemba, 2022 alipokuwa anafungua mkutano mkuu wa 9 wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) uliofanyika katika ukumbi wa Jengo la NSSF Ilala jijini Dar es Salaam.

"Utafutwe ufumbuzi zaidi na kuongeza umakini, kuhakikisha nidhamu inakuwa kubwa ili soka letu liwe kioo dhidi ya nchi nyingine, yapunguzwe matukio ya kuondoa sintofahamu kwa wadau wa soka ndani na nje ya nchi," amesema Yakubu.

Aidha Yakubu amewataka wachezaji, viongozi wa ngazi zote na makocha kuzingatia kanuni zilizopo ili kuondokana na matukio yasiyofaa katika michezo nchini.

"Siamini kujengwa kwa magereza mengi ndio suluhisho la kuondoa vibaka wengi mtaani, bali ni kutoa elimu ya kuwafanya waondokane na nidhamu mbovu, hivyo nitoe wito kwa wachezaji, viongozi wa ngazi zote na makocha wazingatie kanuni zilizopo kwa lengo la kuondoa matukio yasiyofaa," amesema  Yakubu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA