Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bingwa wa Tenisi ataka Grand Slam

Jumatatu , 20th Nov , 2017

Mcheza tenisi Grigor Dimitrov raia wa Bulgaria ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kushinda taji la fainali za ATP kwenye mashindano yake ya kwanza kushiriki baada ya usiku wa kuamkia leo kumshinda David Goffin wa Ubelgiji.

Katika fainali hiyo Dimitrov, mwenye umri wa miaka 26, amefanikiwa kushinda taji lake kubwa la kwanza baada ya kushinda kwa seti 7-5 4-6 6-3 kwenye uwanja wa O2 jijini London.

Dimitrov ameshinda mechi zake zote tano alicheza kwenye fainali hizo kuanzia hatua ya makundi hadi fainali yenyewe na kufikia rekodi ya Mhispania Alex Corretja, ambaye naye alitwaa ubingwa huo kwenye mashindano yake ya kwanza mwaka 1998.

Dimitrov amesema haamini kile kilichotokea na hakumbuki alifanyaje kushinda fainali hizo ambazo hukusanya magwiji wa tenisi duniani ambapo msimu huu walikuwepo nyota kama Roger Federer na Rafael Nadal.

Pamoja na mafanikio hayo lakini nyota huyo amesema malengo yake makuu ni kushinda taji la Grand Slam hivyo ataendelea kuweka jitihada kuhakikisha anatimiza malengo hayo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi