Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bartomeu aachiwa kwa dhamana

Jumanne , 2nd Mar , 2021

Rais wa zamani wa Barcelona, Jose Bartomeu ameachiwa kwa dhamana na mahakama nchini Hispania baada ya jana kushikiliwa na polisi kutokana na tuhuma za kutoa rushwa kwa moja ya kampuni ya mawasiliano kuwachafua baadhi ya nyota wa zamani na wa sasa wa timu hiyo.

Bartomea ameachiwa pamoja na mshauri wake wa zamani Jaume Masferrer huku wathuhumiwa wengine wawili, Afisa mtendaji mkuu, Oscar Grau na mkurugenzi wa sheria wa klabu hiyo Roman Gomez Punti taarifa za kuachiwa kwao zikiwa bado hazijathibitika. 

Taarifa nchini Hispania zimemeeleza kuwa baadhi ya wachezaji nyota wa zamani wa Barcelona waliokuwa wakichafuliwa kwenye mitandao ya kijamii iliyopewa fedha na Rais Bartomeau ni; Xavi Hernandez, Carlos Puyol na kocha wa hivi sasa wa Manchester City Pep Guardiola.

Wachezaji wanaocheza hivi sasa ambapo pia ni sehemu ya waliofanyiwa propaganda hizo ni Lionel Messi na Gerrard Pique ambao inaaminika hawakuwa wanapendezewa na namna ya klabu hiyo ilivyokuwa inaendeshwa chini ya uongozi wa Rais huyo aliyeiongoza Barca tokea mwaka 2014-20.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali