Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Baba mwenye nyumba' awakosha Msimbazi

Jumatano , 18th Jan , 2017

Beki wa kimataifa wa Zimbambwe na Klabu ya Simba Method Mwanjali amejishinda tuzo ya mchezaji bora wa klabu ya Simba kwa mwezi wa 12 mwaka jana 2016

Method Mwanjali

Mashabiki wa klabu hiyo wameonesha kufurahishwa sana na uwezo na jitihada za mchezaji huo alizozionesha mwaka jana na katika kipindi cha michuano ya kombe la Mapinduzi yaliyofanyika Zanzibar.

Haya ni baadhi ya maoni mbalimbali ya mashabiki wa Simba juu ya ushindi wa mchezaji bora wa mwezi wa 12 alioupata Method Mwanjali 

Edina Chuma: Nimeipenda ndiyo maana akaitwa baba mwenye nyuma, amenipa raha sana Zenji hongera Mwanjali tunaomba kesho (Leo) mtupe raha MOro maana hawa wamesha bakiza point moja inabidi muwaongezee mtaji wazid kusota"

Mwimbileghe Petro Mwaigaga: Ulistahili kabisa hii tuzo lakini Zimbabwe wameshindwa kukuona ukaitumikie timu yako ya taifa!! kama vipi badili uraia uwe Mtanzania maana bongo hakuna beki wa kati kama wewe Mwanjali.

Haya ni maoni ya baadhi yao

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali