Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam FC yakomaa na Simba

Jumapili , 19th Nov , 2017

Klabu ya soka ya Azam FC imeendelea kuwakaba koo vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara Simba kwenye msimamo baada ya kuibuka na ushindi ugenini dhidi ya Njombe Mji. 

Azam FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wake wa raundi ya 10 dhidi ya Njombe Mji uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Sabasaba mjini Njombe. Bao pekee la Azam FC limefungwa na nahodha Aggrey Morris.

Kwa matokeo hayo Azam imeendelea kukimbizana na Simba kileleni kwa alama 22 ikizidiwa mabao ya kufunga hivyo kubaki katika nafasi ya pili ikifuatiwa na Yanga yenye alama 20.

Katika mchezo mwingine wa leo uliokamilisha raundi ya 10 umeshuhudiwa Mtibwa Sugar ikikubali kupoteza mchezo wake wa kwanza kwenye ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu baada ya kuchapwa bao 1-0 na Kagera Sugar.

Bao la Kagera Sugar ambayo ilikuwa ugenini Manungu limefungwa na Edward Christopher. Matokeo hayo yanaifanya Mtibwa Sugar isalie katika nafasi ya nne ikiwa na alama 17 sawa na Singida United ambayo ina alama 17 pia.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi