Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajibu awapigia magoti wanayanga

Ijumaa , 12th Jan , 2018

Baada ya kutolewa katika michuano ya kombe la mapinduzi kwa kipigo cha penalti 5-4 dhidi ya URA, Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Migomba ameomba radhi kwa mashabiki wa timu hiyo kutokana na matokeo hayo mabaya.

Mshambuliaji huyo  aliyetokea klabu mahasimu wao timu ya Simba SC na kutokea kuwa kipenzi cha mashabiki wa Yanga amesema hawakupenda kupata matokeo ya aina ile lakini ilitokea vile kwa sababu mpira una matokeo matatu.

Naomba mashabiki wetu wa Yanga watusamehe kwa matokeo mabaya hakuna timu ambayo inapenda kupoteza mchezo ila ndiyo imeshatokea na matokeo ndiyo hayo katika mpira kuna matokeo matatu tu, kusohinda, kufungwa na kutoka sare, chamsingi kwa mashabiki ni kutupa ushirikiano zaidi na kutuunga mkono katika michezo iliyo mbele yetu ,” amesema Ajibu.

Katika mchezo huo wachezaji ambao walipiga penalti ni Papy Tshishimbi, Hassan Kessy, Gadiel Michael, Daud Raphael na Obrey Chirwa ambaye alikosa.

Yanga iliondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi katika hatua ya nusu fainali na URA ya Uganda kutinga fainali itakayopigwa kesho usiku dhidi ya Azam FC ambayo nayo iliitoa Singida United kwa bao 1-0.

Yanga ilirejea Jijini Dar es Salaam jana ikitokea Zanzibar ikiwa ni siku mbili tu zimepita tangu mahasimu wao, Simba SC kutolewa na timu ya URA katika hatua ya makundi jambo ambalo mashabiki wa Yanga waliitumia kama fimbo ya utani kwa watani zao wa jadi na kuwatolea kejeli za kiutani lakini furaha yao ikaingia shubiri baada ya wao pia  kuondolewa mikono mitupu na timu iliyowatoa watani zao.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA