Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AFCON yafikia robo fainali, Egypt vs Morocco

Alhamisi , 27th Jan , 2022

Michuano yamataifa ya Afrika ‘AFCON’ imefikia michezo ya mtoano hatua ya robo fainali baada ya michezo ya hatua ya 16 kutamatika usiku wa jana Januari 26, 2022.

(Egpyt wakishangilia kufuzu Robo fainali na Timu ya Senegal)

Mabingwa watetezi, Mafarao wa Misri wamepata ushindi wa penalty 5-4 dhidi ya Ivory Coast ‘Tembo wa Afrika’ baada ya sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120. Erivk Baily alikosa penalti kwa Ivory Coast na MO Salah akaivusha Egypt.

Kwa upande mwingine, Mali aliondoshwa kwenye hatua hiyo baada ya kufungwa kwa penalty 6-5 dhidi ya Equtorial Guinea kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 na zile 30 za niongeza.

Kwa matokeo hayo, Mabingwa wa Kihistoria Misri watacheza na Mabingwa wa CHAN, timu ya taifa ya Morocco ilhali Equatorial Guinea ikipangwa kucheza na Senegal Jumapili ya Januari 30, 2022.

Gambia ambayo inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza, imetinga hatua ya Robo fainali kwa mara ya kwanza na itacheza dhidi ya wenyeji wa michuano hiyo timu ya Cameroon wakati Burkina Faso itacheza na Tunisia Januari 29, 2022.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA