
Mwamuzi Elly Sasii(Pichani) ndiye atakayeamua mchezo kati ya Yanga na Simba utakaochezwa kesho.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Kulia ni Katibu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya

Mbwana Ally Samatta akishangilia moja ya goli aliyofunga akiwa na Aston Villa

Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Rukwa Swagile Msananga (mwenye suti nyeusi) akiwa naTimu ya Uhakiki wa Maeneo ya wazi kutoka Ofisi ya Ardhi Mkoa wa Rukwa.

Pichani ni Rais Dkt John Magufuli akiwa amebeba Ngao na Mkuki, kuashiria kukabidhiwa hatamu za uongozi.

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kagera, John Joseph.

Mfungaji wa bao la kufutia machozi la Manchester United, Antony Martial (Aliye katikati), akirejesha mpira katikati ya uwanja.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akila kiapo cha Urais kwa muhula wa pili.