
Nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Hispania na klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez (Pichani) akionyesha ufahari wa mataji (Treble) aliyotwaa akiwa klabu yake.

Maandalizi kwenye uwanja wa Uhuru ambapo atazikwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa

Mshambuliaji wa klabu ya Mtibwa Sugar, Jaffari Kibaya (Kati kati Pichani), akiwaongoza wenzake kushangilia bao alilofunga kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanzania bara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge

Kikosi cha Atalanta (Pichani) katika shamra shamra za bao walilofunga katika moja ya mechi ya Serie A.

Bernard Membe

Aliyekua Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake.

Mkurugenzi mstaafu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Dkt. Hellen Kijo Bisimba

Mshambuliaji wa PSG, Neymar Jr akiwa na taji la French Cup walilolitwaa jana baada ya kuifunga Saint Etienne bao 1-0 alilofunga yeye mwenyewe.