Nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Hispania na klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez (Pichani) akionyesha ufahari wa mataji (Treble) aliyotwaa akiwa klabu yake.

25 Jul . 2020

Maandalizi kwenye uwanja wa Uhuru ambapo atazikwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa

25 Jul . 2020

Mshambuliaji wa klabu ya Mtibwa Sugar, Jaffari Kibaya (Kati kati Pichani), akiwaongoza wenzake kushangilia bao alilofunga kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanzania bara

25 Jul . 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge

25 Jul . 2020

Kikosi cha Atalanta (Pichani) katika shamra shamra za bao walilofunga katika moja ya mechi ya Serie A.

25 Jul . 2020

Aliyekua Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake.

25 Jul . 2020

Mkurugenzi mstaafu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Dkt. Hellen Kijo Bisimba

25 Jul . 2020

Mshambuliaji wa PSG, Neymar Jr akiwa na taji la French Cup walilolitwaa jana baada ya kuifunga Saint Etienne bao 1-0 alilofunga yeye mwenyewe.

25 Jul . 2020