Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Wazazi wawasikilize watoto wa kike'' - Mwasiti

Jumatatu , 31st Mei , 2021

Msanii wa Bongofleva Mwasiti, ambaye amekuwa akijihusisha kwa kiasi kikubwa na masuala ya kijamii ikiwemo mabinti, amesema moja ya changamoto aliyobaini ni wazazi kuwa mbali na watoto wao wa kike hivyo hata mambo ya hedhi salama hawayaongelei.

Msanii Mwasiti (kulia) akikabidhi mchango wake wa pedi kwa balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama.

Mwasiti ameongea hayo kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Namthamini 2021 ambayo ina lengo la kukusanya pedi kwaajili ya wanafunzi wa kike zaidi ya 5,000 nchini.

''Mimi nimezunguka sana Tanzania kwenye haya mambo ya watoto wa kike, kuna changamoto kubwa ya ukaribu baina ya wazazi na mtoto wa kike hususani anapofikia umri wa hedhi. Kutokana na umbali huo anakosa kuwa karibu na wazazi hivyo hata kuongelea hedhi salama inakuwa vigumu. Naomba huo mpaka uondolewe,'' ameeleza.

Tangu kampeni ya Namthamini NasimamaNaye ianze mwaka 2017, East Africa Television na East Africa Radio, zimefanikiwa kugawa pedi zaidi ya 40,000 ambazo zimewasaidia wanafunzi zaidi ya 10,000 nchini kote.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi