Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walioshinda 'Golden Buzzer' wamshukuru Rais Samia

Jumatano , 19th Oct , 2022

Vijana wawili wanaojiita za The Ramadhan Brothers, ambao video yao ilisambaa mitandaoni wakiwa kwenye mashindano ya Australia got talent, na kubonyezewa Golden Buzzer baada ya kufanya mazuri wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa namna ambavyo imekuwa ikiwatia moyo wasanii.

The Ramadhan Brothers wakiwa kwenye studio za East Africa Radio

Kauli hiyo wameitoa hii leo Oktoba 19, 2022, wakati wakizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio ambapo kwa pamoja wameeleza safari yao ilivyokuwa na jinsi ambavyo milango imefunguka na wamekuwa wakialikwa kwenye mashindano mbalimbali.

"Napenda sana kuwashukuru viongozi wote wa Tanzania akiwemo Rais Samia kwa kututia moyo sisi wasanii, kusema kweli serikali yetu inatia nguvu sana na ina-support sana wasanii, tuna-show moja kubwa sana, tuna nusu fainali na fainali yenyewe nina imani Watanzania watashangaa kuona tunafanya maajabu yale," wamesema The Ramadhan Brothers

Aidha wameongeza kuwa, "Hatua tuliyofika kusema kweli tunamshukuru Mungu ni hatua kubwa sana na kwa sasa hivi tulipofikia ile show ni utambulisho, na pale kulikuwa na wasanii zaidi ya 300 lakini The Ramadhan Brothers tumekuwa wasanii wa kwanza kutunukiwa tuzo ya golden buzzer,".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA