Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Upangaji usio rasmi wachangia migogoro

Jumatatu , 5th Oct , 2020

Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya makazi baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema serikali haina budi kuchukua hatua kali kwa watu wanaojenga katika maeneo hatarishi huku wengine wakitoa malalamiko yao juu ya uwepo wa kundi kubwa la matapeli katika sekta ya ardhi.

Ramani ya makazi ya watu

EATV hii leo imepita katika mitaa kadhaa ya Jiji la Dar es Salaam na kuzungumza na wananchi hao ambao wameelezea adha wanayokutana nayo ikiwemo madalali ambao wamekuwa wakipangisha nyumba kwa gharama kubwa, hali ambayo imekuwa inaleta usumbufu kwa muda mrefu.

Pamoja na hayo EATV ikalazimika kufika katika chama cha wapangaji Tanzania na kuzungumza na Katibu wake Bw. Ngasongwa Philip, ambaye amesema ili kuepusha migogoro ya ardhi ni muhimu wadau wote kufuata sheria.

"Sasa unakuta mwenye nyumba anataka alipwe kodi ya mwaka mzima wakati hata waajiri hawalipi mishahara ya mwaka mzima hii ni changamoto kubwa sana". amesema Ngasongwa Philip Katibu wa Chama cha wapangaji, Ngasongwa Philip.

Aidha, amesisitiza kuwa mfumo rasmi wa upangishaji unaotumika kwa kuwa  sasa ni holela hasa katika makazi ambayo hayajapangwa ukiacha machache yaliyokidhi vigezo akishauri katika siku hii ni vyema wadau wakatafakari uwepo wa udalali usio rasmi ambao huumiza wananchi kwa muda mrefu.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto