Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sisi 'wabongo' tunapimana mafanikio" - Wakazi

Ijumaa , 28th Jun , 2019

Nguli wa muziki wa Hip Hop nchini, Webiro Wassira maarufu kama 'Wakazi', amezungumzia tabia ya watu kufuatilia maisha ya wengine na kuyapima kwa muonekano wa nje tofauti na uhalisia.

Wakazi

Amesema hayo katika kipindi cha DADAZ cha EATV, alipokuwa akielezea historia ya maisha aliyokulia kwa wazazi wake na jinsi alivyokuwa akitatishwa tamaa kuwa hatoweza kufanikiwa kirahisi katika kazi yake.

"Mimi nimekulia katika mazingira magumu, hatukukua kwenye maisha ya kusema 'I love you', tumelelewa kijeshijeshi sana ndio maana niko kigumu lakini sio kwa sababu nafanya hip hop", amesema.

"Kibongo bongo au Kiafrika tunapimana mafanikio kutokana na vitu ambavyo tunaviamini kuwa ndiyo mafanikio yenyewe, mfano kuwa na nyumba, gari, kuoa au kuolewa. Unakuta mtu anaweza kukwambia moja kwa moja na mwingine hatokwambia, mwingine anakwambia 'we si umesomea kitu fulani kwanini usifanye'?, wakati anajua mimi ninafanya muziki", ameongeza Wakazi.

"Lakini mimi naelewa kwa sababu nimeishi kwenye nchi za ulimwengu wa kwanza, unakuta mtu hakuulizi unamiliki nini, una mpenzi au la, bali atakuuliza 'are you happy?'".

Mtazame hapa akizungumza zaidi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu