Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke amshambulia Polisi kwa kumng'oa sikio

Jumatatu , 5th Apr , 2021

Afisa mmoja wa Polisi huko nchini Kenya ameshambuliwa na mwanamke kutoka eneo la  Lang'ata Jijini Nariobi, kwa kung'atwa hadi kutolewa sikio lake wakati wa purukushani kati yake na mwanamke huyo.

Gari la Polisi nchini Kenya

Taarifa zinadai kuwa Mwanamke huyo alimshambulia Polisi baada ya kuulizwa kwanini amekaa nje baada ya saa mbili usiku ndipo wakaanza kurushiana maneno kisha akamrukia Polisi na kumshika kichwa chake kwa nguvu na kumng'ata sikio hadi kuling'oa.

Ripoti ya Polisi inaeleza kuwa "Baada ya kugundua amemjeruhi afisa huyo, alikimbilia katika mto unaopakana na Lang’ata na Kibera, Sajini huyo aliokota sikio lake ambalo lilikuwa limeanguka na kuelekea hadi Hospitali ya Nairobi West”.

Aidha ripoti hiyo imeendelea kwa kusema uchunguzi kuhusiana na kisa hicho unaendelea huku Afisa huyo wa Polisi akisubiri kufanyiwa upasuaji wa kupandikiza sikio lake.

Chanzo : Citizen Tv

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi