Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoko ni muhimu kwa afya ya mwanaume

Jumanne , 23rd Jan , 2024

Kulingana na utafiti kutoka Chuo kikuu cha Oxford, kuwa na marafiki na kupata moja moto moja baridi siyo tu hufurahisha wanaume, bali pia ni muhimu kwa afya zao.

 

Mwanasaikolojia Robin Dunbar, kwa kushirikiana na kikundi cha utafiti wa maswala ya ''neuroscience'' kutoka chuo kikuu cha Oxford, wamebaini kuwa mwanaume anahitajika kupata mtoko angalau mara mbili katika wiki, ili kukuza ustawi wa urafiki na kwa afya yake binafsi.

Dunbar anasema urafiki wa mwanaume unaweza kukua kwa kushiriki kwenye mambo mbalimbali na wanaume wengine, ikiwa ni pamoja na maswala ya kimichezo, kupata moja moto moja baridi na aina nyingine zinazopelekea makutano ya wanaume.

Utafiti wao ulibaini kuwa wanaume ambao walistawisha uhusiano wao kwa maana ya kukutana angalau mara mbili kwa wiki na marafiki zao, walikuwa na asilimia ndogo sana ya kupatwa na msongo wa mawazo ambao mara nyingi, utokea kutokana na ukosefu wa kazi kwa mwanaume, kukosa fedha (hali mbaya ya kiuchumi) na mengineyo

Kwa nyiongeza walibaini kuwa wale ambao walifanikiwa kukutana na marafiki angalau mara mbili kwa wiki walifanikiwa kurejea kwenye hali ya kawaida kwa uharaka zaidi pale walipokumbwa na msongo na upweke ukilinganisha na wale ambao hawajichanganyi na marafiki.

Picha: food24.com

 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi