Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtangazaji wa ITV, Agnes Almasy aagwa rasmi Dar

Jumamosi , 5th Sep , 2020

Aliyekuwa mfanyakazi (mwanahabari) wa ITV na Redio One, Agnes Almasy mapema leo ameagwa rasmi katika Kanisa la Anglikan la Mtakatifu Nichoulaus, Ilala jijini Dar es Salaam.

Kuagwa kwa Agnes Almasy

Mtangazaji huyo alipatwa na umauti  Septemba 3 Buguruni Jijini Dar es Salaam alipokuwa akijiandaa kuelekea kazini na alifariki akiwa njiani kuelekea hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.

Misa hiyo ya kuaga ilihudhuriwa na viongozi wa IPP Media, wafanyakazi na watu mbalimbali wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Joyce Mhaville.

''Agnes alikuwa mchapakazi mzuri sana, aliyependa kujifunza kila siku na alikuwa mchangamfu sana na mwenye kupenda kufurahi muda mwingi kwakweli tumepoteza mfanyakazi mahiri na aliyefanya kazi zake kwa ufanisi mkubwa", amesema Julieth Robert ambaye ni Mfanyakazi na msomaji habari wa ITV.

"Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa ajili ya maisha ya Agnes Almasy kwani sote tulitoka kwa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea'', ameongeza.

Baada ya Ibada ya kuaga mwili, marehemu anatarajiwa kusafirishwa kuelekea Mkoani Tanga ambapo atazikwa katika Makaburi ya Bombo.  Agnesy ameacha mume na mtoto mmoja na aliajiiriwa rasmi kufanya kazi na ITV na Redio One Machi 19, 2018.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi