Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aibana serikali taulo za kike

Jumanne , 31st Mei , 2022

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Neema Rugangira ameitaka serikali kuja na mpango wa kuhakikisha mtoto wa kike hakosi shule.

Mhe. Neema Rugangira akichangia bungeni

Kutokana na tafiti ya NIMRI ya mwaka 2021 ilionyesha watoto wengi wa kike hasa wa vijijini wanakosa shule kwa sababu yakuwa kwenye hedhi na moja ya sababu ni kukosa taulo za kike.

Mhe. Neema Lugangira mwaka jana ajitolea taulo za kike kwa wanafunzi 42 kupitia Kampeni ya Namthamini ambayo kwa sasa inakusanya michango ajili ya kusaidia watoto wa kike mashuleni tena kwa mwaka wa 6.

Unaweza kuchangia Kampeni ya Namthamini kupitia namba yetu ya ofisi 0787633313 kwa jina la East Africa Television. Pia unaweza kutuma kupitia
1. M-Pesa kwa lipa namba 5999900 jina East Africa Television.
2.  Akaunti namba 0150431938200 CRDB  jina NAMTHAMINI

Pia unaweza kuwasilisha mchango wako wa PEDI au fedha katika ofisi za East Africa Television na East Africa Radio, Mikocheni Dar es salaam.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali