Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mary Nagu ajivunia Namthamini

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Mbunge wa Hanang Mh Mary Nagu, ameipongeza East Africa Television na East Africa Radio kupitia kampeni ya Namthamini na kudai kuwa tangu ameshiriki kwenye mwaka wa kwanza amekuwa akiona mafanikio ya kampeni hiyo.

Timu ya Namthamini ikiwa na Mbunge wa Hanang Mary Nagu (katikati) ofisini kwake Hanang.

Akiongea ofisi kwake mbele ya timu ya Namthamini ambayo ilikuwa wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za Sumaye na Simbay, Nagu amesema anajivunia kampeni ya Namthamini kwani inatengeneza viongozi wanawake wa baadaye.

''Nakumbuka nilishiriki kwenye awamu ya kwanza, na tangu hapo nimekuwa nikifuatilia mnavyoendelea kuwathamini wasichana wetu shuleni kiukweli ni jambo la kupongezwa na msiache endeeleni hivyo hivyo na sisi tutawaunga mkkono kadri tunavyoweza'', amesema.

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2019, imefanikisha wanafunzi wa kike zaidi ya 300, kupata taulo za kike kwa mwaka mzima ndani ya  Wilaya ya Hanang.

Wanafunzi hao wanatoka katika shule ya sekondari Simbay ambayo ni ya kutwa pamoja na shule ya sekondari Sumaye ambayo ni ya kutwa na bweni. Wasichana takribani 70 wanaotoka mbali wanakaa bweni.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi