Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo 5 ya kufanya kwa mtu aliyeungua moto

Jumanne , 14th Jul , 2020

Mara nyingi katika matukio ya ajali huwa kunakuwa na uhitaji mkubwa wa huduma ili kuepusha kutokea kwa madhara zaidi pamoja na kuepusha vifo.

Jeraha la moto

Moja ya matukio hayo ya ajali ni pamoja na moto ambao huwa unapelekea watu kuungua. Kupitia kipindi cha Dadaz cha EATV, Dr. Meshack Kinyuli ametoa elimu kuhusiana na mambo muhimu ya kufanya kwa mtu aliyeungua kwa moto.

Dr. Kinyuli ameanza kwa kufafanua nini maana ya jeraha la moto ambapo amesema jeraha la moto ni pale ambapo mwili hasa eneo la ngozi linakuwa na joto kuzidi kawaida, na kuyagawa majeraha ya moto kutokana na kuungua, kuunguzwa na maji au kemikali, umeme na mvuke.

"Mambo ya kuyazingatia kwa mtu aliyepatwa na jeraha lolote la moto, kwanza ni kuondoa moto eneo la tukio, pili ni kuondoa mavazi yake na vitu vingine vilivyoushika mwili wake kama mkanda na nguo lakini kama vitu hivyo vimeshikana kabisa na mwili visitolewe bali asubiriwe daktari", amesema.

"Mengine ya kuzingatia ni kuhakikisha anapumua vizuri na siwekewe mto kichwani kwani itampa ugumu kupumua. Pia mtu anayeungua moto moja kwa moja hapaswi kukimbia bali agalegale kwenye mchanga na hii ni kwa moto wa kawaida pamoja na kufunika eneo athirika kwa kitambaa chenye ubaridi", ameongeza.

Tazama hapa amelezo yote kutoka kwa Dr. Kinyuli.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto