Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mapenzi mwisho miaka miwili au mitatu" - Justus

Alhamisi , 11th Mar , 2021

Msaikolojia Justus August amesema mwisho wa kudumu kwenye mahusiano ya kawaida ni miaka miwili mpaka mitatu na ikivuka baada ya hapo basi inakuwa ni bahati kwani yanakuwa tayari yameshavunjika.

Msaikolojia Justus August

Akizungumzia hilo kwenye show ya DADAZ ya East Africa TV Justus August amesema hivyo kwa sababu ni ngumu kwenye mahusiano kukutana na mtu aliyekamilika kwa asilimia mia.

"Avarage time ya watu wa kudumu kwenye mapenzi ni miaka miwili mpaka mitatu, ikipita zaidi ya hapo basi utakuwa na bahati sana, kama unabisha angalia mahusiano mengi yanavunjika baada ya muda gani japo wengine wapo lakini hawapendani

"Kibaiolojia Wanaume tunaongozwa na tamaa yaani tunatamani sana na ndizo zina-take action kwetu, mwanamke yeye anaongozwa na hisia ambazo zinampanda mdogomdogo kama unamtaka kwa kutumia zawadi, ujumbe mzuri, surprise na vishawishi vingine" ameongeza Justus August 

Pia amesema kwenye mahusiano mkianza kuongelea matatizo kuliko malengo ni dalili za kuvunjika na dalili zingine ni kama kutopewa kipaumbele na kupuuza yale uliyokuwa unafanya au unafanyiwa mwanzo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA