Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ifahamu migahawa ya ajabu kuwahi kutokea duniani

Jumamosi , 12th Sep , 2020

Zipo hoteli na migahawa mbalimbali duniani ambayo husifiwa kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na utamu wa vyakula vinavyouzwa, huduma zilizokidhi viwango, mazingira ilipo migahawa hiyo au hoteli hizo na mengine mengi. 

Migahawa ya ajabu duniani

Hii ni orodha ya migahawa mitatu ya ajabu duniani

Disaster Cafe ni mgahawa ulioko Hispania ndani hutokea tetemeko kubwa la aridhi la kipimo cha 7.8 jambo ambalo nje ya mgahawa huo alipo na maisha ya kawaida yanaendelea wahudumu huu wanavaa kofia ngumu za ujenzi na vifaa vya usalama.

Watu wanapohudumiwa tetemeko huanza na vyombo vinavyotumika havipasuki hata vikianguka chini kwa mtikisiko kinacho mwangika ni chakula tu kutoka kwenye vyombo hivyo watu hupenda kwenda kushuhudia maajabu hayo.

Opaque huu ni mgahawa ulioko Los Angeles maarufu kwa wapenzi, mazingira yake mazuri,  mishumaa pekee hutumika lakini cha kushangaza  ndani ni giza na wahudumu huvaa miwani maalumu ambayo inawawesha kuhudumia kwa kuwashika mikono na kuwaongoza mahali pa kukaa.

Mteja ana uwezo wa kunusa, kugusa au kusikia akiwa ndani huku ikielezwa kuwa lengo haswa la mgahawa huo ni kukuza uelewa kuhusu upofu.

Hadacker Such huu ni mgahawa ulioko west Hollywood Marekani ni maarumu kwa chakula aina ya 'such' mbapo mteja wa kiume akifika anahudumiwa chakula kikiwa juu ya mwili wa mwanamitindo wa kike ambaye yuko mtupu hivo hivyo kwa mteja wa kike huletewa chakula kwenye mwili wa mwanamitindo wa kiume ambaye pia yuko mtupu.

Chakula hicho kinawekwa juu ya jani la mgomba bila kugusa ngozi na sehemu nyingine ya mwili hufunikwa na maua usafi na maandalizi ni ya hali ya juu, pia watoto hawaruhusiwi kuingia.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali