Picha ya daraja la ghorofa tatu
Wakazi wengi wa Taifa hilo wamekuwa wakisafiri kwenda hadi kwenye eneo hilo la mlima ili kufanya utalii na kushea picha mbalimbali za matukio kwenye mitandao ya kijamii.
Barabara hiyo yenye mita 350 na urefu wa kilomita 30 ilijengwa na wafanyakazi 3000 ili kurahisisha watalii kuingia katika eneo hilo huku inaelezwa kuwa walitumia miezi mitano tu kulikamilisha.