Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baharia wa kike afunguka wanavyokutana navyo

Jumatano , 1st Jul , 2020

Najua umeshasikia neno Baharia, na wengi wao wanaotumia huwa ni wanaume, sasa leo tunakukutanisha na baharia wa kike aitwaye Dilshard Multaza ambaye anatueleza kuhusianan na miasha ya ubaharia wa kike na changamoto anazokutana nazo.

Baharia Dilshard Multaza

Akizungumza kwenye kipindi cha Mama Mia ya East Africa Radio inayoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi hadi 6:00 Mchana Baharia Dilshard Multaza amesema,

"Inaniuma sana kuona Baharia wa kike anasoma halafu hapati kitu, sisi ndiyo tunafanya uwezeshaji tunataka tutambulike na tupewe heshima yetu, kwa ujumla hali ya bahari ni ngumu sana kuna muda inachafuka ghafla,tunapata majanga mengi, tunakufa, meli kuondoka na mizigo, kupoteza abiria na tunashutumiwa kwamba ndiyo tuna sababisha matatizo kwa hiyo ikitokea hivyo unapoteza muelekeo"

Mengine zaidi aliyoyazungumza kuhusiana na maisha ya baharia wa kike, mikasa na wanavyokutana navyo, tazama kwenye video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi