
Pichani marehemu Chadwick Boseman
ikiwa hili ni jina la muigizaji maarufu wa filamu ya Black Panther aliyefariki mwezi Agosti, 2020 kwa matatizo ya saratani ya utumbo.
Baada ya habari kutangazwa na Chuo, muda mfupi baadae kuliandikwa taarifa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter wa marehemu Boseman ikiwakaribisha wanafunzi Chuoni hapo.
Ujumbe wa Boseman wa Twitter
Boseman (43), alihitimu masomo yake katika chuo hicho mwaka 2000 na alikuwa akichukua Shahada ya Sanaa kwenye masuala ya uongozaji wa filamu.