Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule zenye matatizo ya vyoo, kufungwa

Alhamisi , 8th Dec , 2016

Serikali imesema shule zote zenye upungufu wa matundu ya vyoo, au zisizokuwa na vyoo zitafungwa endapo kasoro hiyo haitarekebishwa ndani ya mwaka mmoja.

Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Kibirashi iliyopo Kilindi Mkoani Tanga akionesha choo cha muda cha shule hiyo.

 

kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhandisi Stella Manyanya alipokuwa akijibu maswali ya wananchi kupitia kipindi cha Kikaangoni kinaruka LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV kila Jumatano saa 8:00 mchana.

Manyanya amesema wazazi na wananchi kwa ujumla wana jukumu la kujenga vyoo katika shule ambazo watoto wao wanasoma, hivyo wahamasishwe na kumaliza tatizo hilo ndani ya mwaka mmoja.

"Katika suala la vyoo, tumewaachia wazazi wawajibike, maana kama wameweza kujenga madarasa, watashindwaje kujenga vyoo?? tatizo hili haliko vijijini pekee yake, liko hadi mijini, nimetembelea shule kama Zanaki hapa Dar es Salaam, nimekuta hali mbaya sana, kwahiyo kuna mambo mengine tunaona ni lazima wananchi waendelee kusaidia maana ukiisubiri serikali inaweza ikachukua muda mrefu zaidi" Amesema Manyanya

Mhandisi Stella Manyanya

"Tumetoa mwaka mmoja, shule zote na hasa za serikali zitakazokuwa hazina matundu ya vyoo ya kutosha, na zile ambazo mazingira ya vyoo ni mabaya, tutazifunga bila ubaguzi wa shule ya serikali na binafsi"

Kuhusiana na ubovu wa miundombinu mingine ya shule, Manyanya amesema shule zaidi ya 81 tayari zimeanza kuboreshwa na kuwataka wadau wa maendeleo kusaidia kwa kuwa mwanafunzi asipokuwa kwenye mazingira bora, hawezi kupata elimu bora.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali