Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Hata Wabunge wa CCM, wanafukuzwa Bungeni'- Bonnah

Jumapili , 22nd Sep , 2019

Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli amesema sio Wabunge wa Upinzani pekee, ambao huwa wanafukuzwa Bungeni hata Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi huwa wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini wao huwa hawasemi.

Bonnah Kamoli ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kupitia kurasa za Facebook na Youtube za EATV, wakati akijibu swali juu ya kitu gani ambacho kinamkera sana ndani ya Bunge la sasa, linaloongozwa na Spika Ndugai.

Bonnah Kamoli amesema kuwa "sio Wabunge wa Upinzani peke yake ambao wanafukuzwa hata Wabunge wa CCM na wao wanafukuzwa ambao walileta utovu wa nidhamu, na hata Masele aliombewa msamaha kwa sababu alikuwa tayari kuja mbele za watu kuomba radhi"

"Wapo Wabunge wa CCM wanaofukuzwa na wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini sisi si rahisi kuandika kwenye mitandao kuwa tumepelekwa kwenye Kamati ya Maadili, sema wenzetu ni rahisi jamii kujua, kwa sababu huwa wanaandika wasidhani na sisi hatuna matatizo ila tunaheshimu kanuni za chama chetu." amesema Bonnah Kamoli

Katika kipindi hicho Mbunge wa Segerea Bonnah Kamoli amesema anaimani anaweza akawa Rais anayefuata baada ya Rais wa sasa  Magufuli.

Tazama mahojiano kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali