
Mbunge wa jimbo la Makambako akizungumza na wananchi

Katibu mkuu CCM Balozi Dkt. Nchimbi akiwakaribisha wanachama wapya mkoani simiyu

Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua

Mbunge wa Makangako Deo Sanga akizungumza na wananchi wa wilaya ya makambako

Stars itaondoka majira ya saa 7 usiku leo kwenda Congo DRC kukabiliana na timu ya Congo DRC kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 itakayofanyika nchini Morocco Samata ataiongoza Stars huku Congo DRC ikimkosa mshambuliaji wa Brentford ya England Yoane Wissa

Ten Hag amejiunga United 2022 na kuiongoza timu hiyo kutwa kombe la ligi 2023, FA 2024 kocha huyo raia wa Uholanzi alisaini mkataba wa kubaki kwa Mashetani Wekundu kwa mwaka mmoja zaidi mwezi Juni 2024

Geoge Mugale, mkazi wa Dar es Salaam

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry William Silaa